![]() |
| Fahim Omar |
Kwasasa mwamuzi aliyechezesha mchezo baina ya Al Masry na Al Ahly Fahim Omar ameeleza kuwa bado anaendelea kupokea vitisho vya kuuwawa kutoka kwa watu mbalimbali baada ya mchezo huo. Omar alikiri kuwa wachezaji wa Al Ahly Mohamed Barakat na Hossam Ghaly walimuomba mwamuzi asimamishe mchezo huo baada ya mashabiki kuanza kurusha mafataki lakini hakufanya hivyo akijua hali hiyo ingetulia.


No comments:
Post a Comment