Sunday, September 18, 2011

LIGI KUU BARA: YANGA YASHINDWA KUFURUKUTA KWA AZAM, SIMBA YAIFUNGA KAGERA SUGAR 1-0.


Timu ya Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya Azam fc baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0, ambalo lilifungwa na mshambuliaji John Boco dakika 20, katika mchezo uliochezwa katika Uwanja wan Taifa, Dar es Salaam jioni hii.

No comments:

Post a Comment