Wednesday, September 28, 2011

YANGA 5 COASTAL UNION 0.

Mshambuliaji wa Yanga Davis Mwape akijaribu kumtoka beki wa Coastal Union katika mchezo uliozikutanisha timu hizo jioni hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo Yanga ilishinda kwa mabao 5-0.

No comments:

Post a Comment