Monday, October 31, 2011

MATUKIO MBALIMBALI YA MCHEZO BAINA YA LA GALAX NA NY RED BULL.

David Beckham wa Los Angeles Galax na Thiery Henry wa New York Red Bull wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo baina ya timu hizo ulichezwa jana usiku huko Marekani, LA Galax ilishinda bao 1-0 katika mchezo huo.

Henry akimkwatua Beckham katika mchezo.

Mchezaji wa LA Galax Robbie Kean akiwa kazini.

Wachezaji wa timu zote mbili wakizozana mara baada ya kipenga cha mwisho kupigwa.

Beckham akiwa na mchezaji wa kimataifa wa Brazil Neymar kabla ya kuanza kwa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment