Wednesday, August 17, 2011

SIMBA YATWAA NGAO YA JAMII (COMMUNITY SHIELD) KWA KUIFUNGA YANGA 2-0.

Nahodha wa Simba Juma Kaseja akinyanyua juu Ngao ya Jamii walioinyakuwa baada ya kuifunga Yanga mabao 2-0 ikiwa ndio mchezo wa uzinduki wa msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, usiku huu. 

Kiungo wa Simba Haruna Moshi "Boban" akiwa anagaagaa chini baada ya kukwatuliwa katika mchezo huo.

Vijana wa huduma ya kwanza Red Cross wakiwa wamembeba Boban kumpeleka nje ili akapatiwe matibabu baada ya kuumia.

Sehemu ya Mashabiki wa simba wakiwa wanashangilia baada ya timu kushinda.

Kikosi cha Simba .

Kikosi cha Yanga.

No comments:

Post a Comment