Thursday, September 8, 2011

YANGA YAKOMALIA JEZI ZA VODACOM MPAKA KIMEELEWEKA LAKINI YAENDELEA KUBURUTA MKIA KATIKA LIGI.

Kikosi kamili cha Yanga wakiwa wamevaa jezi za mdhamini ambazo hazina rangi nyekundu ya kidoti kama ilivyo nembo ya Vodacom ambaye ndiye mdhamini, kikosi hicho jana jioni kilimenyana na Mtibwa Sugar na kutoka 0-0 katika Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro, matokeo hayo inaifanya Yanga iendelee kuburuza mkia wakiwa wameshacheza michezo mitatu na kuambulia pointi mbili na bao moja.

No comments:

Post a Comment