Wednesday, February 22, 2012

PRIMETIME PROMOTION KUSIMAMIA MCHEZO WA SIMBA NA KIYOVU.

Kampuni ya Primetime Promotion imeingia mkataba na klabu ya Simba kusimamia mchezo wa raundi ya pili ya kombe la shirikisho kati ya wekundu hao wa msimbazi na Kiyovu kutoka nchini Rwanda. Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Primetime kuandaa na kusimamia mechi za mashindano makubwa ya kimataifa baada ya kufanya kazi katika kuandaa na kusimamia na kuratibu mechi kati ya  Yanga na Zamalek.

No comments:

Post a Comment