Wednesday, June 5, 2013

BAADA YA MSIMU WA MISUKOSUKO SASA NI WAKATI WA KUJIACHIA.

Kwenye picha John Terry akiwa katika bodi kwenye mapumziko yake huko Ureno.

Terry akishuka na mkewe wakiendelea na mapumziko yao.

Kiungo mpya wa klabu ya Bayern Munich, Mario Gotze akitanua katika ufukwe wa Ibiza na rafiki wake wa kike.

Baada ya msimu wa kumalizika wachezaji wa Newcastle United wakitanua katika  fukwe za Las Vegas, Marekani.

Golikipa wa Liverpool, Brad Jones akitanua na mpenzi wake katika fukwe za jijini Dubai.


No comments:

Post a Comment