Friday, October 21, 2016

DONE DEAL! NEYMAR ASAINI MKATABA WA NYONGEZA BARCELONA.

KLABU ya Barcelona imethibitisha rasmi kuwa mshambuliaji wao Neymar amesaini mkataba mpya utakaomalizika Juni 30 mwaka 2021. Nyota huyo wa kimataifa wa Brazil, amemaliza uvumi uliozagaa kuhusu mustakabali wake Camp Nou kwa kusaini mkataba mwingine wa miaka minne na nusu. Akihojiwa Neymar amesema amefurahi sana kuongeza mkataba wake kwani anajisikia kuwa nyumbani hapo. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa kabla ya kujiunga na Barcelona tayari alifahamu kuwa ni klabu kubwa.

No comments:

Post a Comment