Monday, October 31, 2011

LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA.



Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom unamalizika wiki hii kwa mechi zifuatavyo;




Oktoba 30-Kagera Sugar vs Azam (Uwanja wa Kaitaba)


Oktoba 30-Villa Squad vs Ruvu Shooting (Uwanja wa Chamazi)


Oktoba 30-Mtibwa Sugar vs Moro United (Uwanja wa Manungu)


Novemba 2-Oljoro JKT vs Villa Squad (Uwanja wa Sheikh Kaluta Amri Abeid)


Novemba 2-Moro United vs Simba (Uwanja wa Taifa)


Novemba 2- Polisi Dodoma vs Yanga (Uwanja wa Jamhuri)


Novemba 2-Toto Africans vs Azam (Uwanja wa CCM Kirumba)


Novemba 2-Mtibwa Sugar vs African Lyon (Uwanja wa Manungu)


Novemba 2- Ruvu Shooting vs JKT Ruvu (Uwanja wa Mlandizi)


Novemba 3- Kagera Sugar vs Coastal Union (Uwanja wa Kaitaba)





LIGI DARAJA LA KWANZA





Mzunguko wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza unamalizika wiki hii kwa mechi zifuatazo;


Kundi A


Oktoba 30- Morani vs Polisi Dar es Salaam (Uwanja wa Kiteto)


Oktoba 30- Transit Camp vs Burkina Faso (Uwanja wa Mkwakwani)


Oktoba 31- Temeke United vs Mgambo Shooting (Uwanja wa Mlandizi)


Kundi B


Oktoba 30- Mbeya City vs Small Kids (Uwanja wa Sokoine)


Oktoba 30- Majimaji vs Tanzania Prisons (Uwanja wa Majimaji)


Oktoba 31- Polisi Iringa vs Mlale JKT (Uwanja wa Samora)


Novemba 3- Polisi Iringa vs Small Kids (Uwanja wa Samora)


Kundi C


Oktoba 31- 94KJ vs Manyoni (Uwanja wa Mlandizi)

No comments:

Post a Comment