Sunday, July 27, 2014

YANGA YATEUA WAJUMBE WAPYA WA KAMATI YA UTENDAJI.

WAJUMBE WAPYA WA KAMATI YA UTENDAJI YA YANGA NI HAWA WAFUATAO:


1. Bw.Abubakar Rajabu - Mradi wa Jangwani City
2. Bw.Sam Mapande - Sheria na Utawala Bora
3. Bw.George Fumbuka - Uundwaji wa Shirika
4. Bw.Waziri Barnabas - Vibali vya Hatimiliki na Mahusiano
na Wafadhili
5. Bw.Abbas Tarimba - Mipango na Uratibu
6. Bw.Isaac Chanji na Bw.Seif Ahmed - Uendelezaji wa Mchezo
7. Bw.Musa Katabalo - Mauzo ya Bidhaa
8. Bw.Mohammed Bhinda - Ustawishaji wa Matawi
9. Bw.David Ndeketela Sekione - Uongezaji wa Wanachama
10. Bw.Mohammed Nyenge - Utangazaji wa Habari, Taarifa,
Matangazo n.k.


WAJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI ILIYOUNDWA UPYA WATASIMAMIA KIMSINGI KAMATI NDOGO ZIFUATAZO:


· Kamati ya Maadili - Bw.Sam Mapande
· Kamati ya Nidhamu - Bw.Sam Mapande
· Kamati ya Uchaguzi - Bw. Sam Mapande
· Kamati ya Uchumi na Fedha - Bw.George Fumbuka na Bw.Waziri
Barnabas
· Kamati ya Mashindano - Bw.Seif Ahmed &Bw.Isaac Chanji


· Kamati ya Soka la Vijana na
Wanawake - Bw.Seif Ahmed &Bw.Isaac Chanji
· Kamati ya Ufundi - Bw.Seif Ahmed&Bw.Isaac Chanji


5. Mwenyekiti na Makamo Mwenyekiti wa YANGA wanamategemeo makubwa kuwa waliotajwa hapo juu watahakikisha wana timiza malengo yaliyokusudiwa naYANGA ili“DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO” mpaka hapo itakapoamuliwa kubadilishwa au kutenguliwa vinginevyo.


6. Mwisho,tunawaomba ushirikiano wa dhati ili kuhakikishakuwa YANGA inapiga hatua mbele na inafanikiwa katika kufikia malengo na mipango yake ya maendeleo ya muda mfupi na ya muda mrefu kwa manufaa ya Klabu, Timu na wana YANGA popote walipo duniani.

“MUNGU AIBARIKI YANGA.”

No comments:

Post a Comment