Friday, May 19, 2017

24 WAITWA TAIFA STARS.

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ataja kikosi cha wachezaji 24 watakaoweka kambi kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wao wa kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika 2019, dhidi ya Lesotho Juni 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment